Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 9:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Na nitaitenganisha mifugo ya Waisraeli na mifugo ya Wamisri kusudi nyama hata mumoja wa Waisraeli asikufe.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 9:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu hawakuweza kuonana wala kuondoka pahali walipokuwa kwa muda ule wa siku tatu. Lakini Waisraeli wote walikuwa na mwangaza kule Goseni walikokuwa wanakaa.


Basi, ile damu itakuwa kitambulisho chenu cha kuonyesha nyumba mutakamokuwa. Nami nitakapoiona ile damu, nitawapita ninyi, hamutapatwa na hasara yoyote wakati nitakapoipiga inchi ya Misri.


Nitakinga watu wangu na mambo yatakayowapata watu wako. Mambo hayo yatafanyika kesho.’ ”


Lakini Musa akamujibu: “Hapana! Haifai kufanya hivyo, maana sadaka tutakazomutolea Yawe, Mungu wetu, zitawachukiza Wamisri. Wamisri wakituona tunatoa sadaka ambazo ni chukizo kwao, si watatupiga mawe?


Mvua ya mawe haikunyesha tu katika inchi ya Goseni ambako Waisraeli walikuwa wanakaa.


Tena, Yawe akaweka wakati akisema: “Kesho mimi Yawe nitatimiza jambo hilo katika inchi ya Misri.”


Kesho yake Yawe akafanya kile alichosema. Mifugo yote ya Wamisri ikakufa, lakini hakuna nyama hata mumoja wa Waisraeli aliyekufa.


Tena niliwanyima mvua miezi mitatu tu mbele ya mavuno. Nilinyeshea mvua muji mumoja, na muji mwingine nikaunyima. Shamba moja lilipata mvua, na lingine halikupata, likakauka.


Pale ndipo mutakapotambua tena tofauti inayokuwa kati ya wenye haki na waovu, kati ya mutu anayemutumikia Mungu na asiyemutumikia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ