Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yawe akafanya kama vile Musa alivyomwomba. Vyura wakakufa katika nyumba, viwanja na kwenye baraza za nyumba na katika mashamba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 8:9
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Elia akawaambia manabii wa Bali: “Ninyi ni wengi. Basi, muanze. Mujichagulie, mutayarishe ngombe dume, mumutayarishe na kumwomba mungu wenu, lakini musiwashe moto.”


Pigo hilo la muto Nili lilidumu siku saba.


Watu wakawakusanya vyura wale malundomalundo. Inchi nzima ikanuka.


Lakini mufalme wa Misri alipoona kwamba inchi imepata utulivu, akakuwa na moyo mugumu tena, wala hakusikiliza Musa na Haruni, kama vile Yawe alivyokuwa amesema.


Basi, Musa na Haruni wakaondoka kwa nyumba ya mufalme wa Misri na Musa akamulilia Yawe amwondolee mufalme vyura wale aliomuletea.


Shoka litaweza kujisifu mbele ya yule anayelitumia? Musumeno unaweza kujivuna mbele ya mwenye kukata nao? Ni kama kwamba vile fimbo ingeweza kumwinua anayeishika, au gongo kumwinua mwenye kuitumia!


Yawe akajibu: Nimewasamehe kama vile ulivyoomba.


Yawe akamwambia Gideoni: “Watu unaokuwa nao ni wengi sana kwangu mimi kwa kuwatia Wamidiani katika mikono yao. Waisraeli wasipate kujisifu mbele yangu na kusema kwamba wamejiokoa kwa nguvu zao wenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ