24 Wamisri wote wakachimbachimba kandokando ya muto Nili kusudi wapate maji ya kunywa, maana hawakuweza kunywa maji ya muto ule.
Samaki wanaokuwa ndani ya muto Nili watakufa, muto wote utanuka vibaya, na Wamisri watachukia kabisa kunywa maji yake.’ ”
Basi, mufalme wa Misri akarudi katika nyumba yake na hata yale yaliyotokea hakuyajali.
Pigo hilo la muto Nili lilidumu siku saba.