Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Lakini hesabu ya matofali yanayotengenezwa kila siku ikuwe ileile, wala kusipunguke hata tofali moja, kwa sababu watu hawa ni wavivu ndio maana wanapiga kelele na kusema: ‘Utuache tuende kutoa sadaka kwa Mungu wetu.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 5:8
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Akawatoa katika mikono ya watu wa mataifa, hao wenye kuwachukia, wakawatawala.


Basi, Wamisri wakachagua wakubwa wawasimamie Waisraeli na kuwatesa kwa kazi ngumu. Waisraeli wakafanya kazi ya kumujengea mufalme wa Misri miji ya kuwekea akiba, Pitomu na Ramesesi.


Lakini mufalme wa Misri akasema: “Wavivu ninyi! Ninyi ni wavivu, ndiyo maana munasema: ‘Utuache tuende kutoa sadaka kwa Yawe’.


Basi, wale wasimamizi wa Waisraeli sasa walijiona kuwa katika taabu, maana waliambiwa: “Hamutapunguza hata kidogo hesabu ya matofali ya kila siku.”


“Tangu leo musiwape watu hawa nyasi za kutengeneza matofali kama vile inavyokuwa kawaida. Wao wenyewe watakwenda kujitafutia.


Muwazidishie watu hawa kazi ngumu kusudi watoke jasho na kuacha kusema maneno ya uongo.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ