Lakini hesabu ya matofali yanayotengenezwa kila siku ikuwe ileile, wala kusipunguke hata tofali moja, kwa sababu watu hawa ni wavivu ndio maana wanapiga kelele na kusema: ‘Utuache tuende kutoa sadaka kwa Mungu wetu.’
Lakini sisi watumishi wako tuna nyasi na malisho kwa ajili ya punda wetu. Vilevile nina mukate na divai; hivyo vinanitosha mimi, habara wangu na mutumishi wangu. Hatukosewi kitu chochote.”