Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 5:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Muende sasa mufanye kazi; maana hamutapewa nyasi na mutafyatua hesabu ileile ya matofali.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 5:18
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muzigo wa baba yangu ulikuwa muzito, lakini wangu utakuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba.’ ”


Lakini mufalme wa Misri akasema: “Wavivu ninyi! Ninyi ni wavivu, ndiyo maana munasema: ‘Utuache tuende kutoa sadaka kwa Yawe’.


Basi, wale wasimamizi wa Waisraeli sasa walijiona kuwa katika taabu, maana waliambiwa: “Hamutapunguza hata kidogo hesabu ya matofali ya kila siku.”


Kisha nikaona mateso yote yanayofanyika chini ya jua. Watu wanaogandamizwa wanalia machozi, lakini hakuna mutu yeyote anayewafariji. Wagandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji.


Lakini baba yake, kwa sababu alilipisha bei isiyokuwa ya haki na kumwibia ndugu yake, wala hakuwatendea wandugu zake vizuri, hakika atakufa kwa sababu ya uovu wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ