Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 5:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Hatupewi tena nyasi wakati tunalazimishwa kufyatua matofali. Tena sisi watumishi wako tunapigwa, ingawa kosa ni la watu wako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 5:16
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha wakaambiana: “Tufanye matofali, tuyachome kwa moto vizuri.” Walikuwa na matofali pahali pa mawe, na kabulimbo pahali pa chokaa.


akafuata shauri la vijana wenzake, akawaambia: “Baba yangu aliwabebesha muzigo muzito, lakini mimi nitaufanya kuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba.”


Halafu wasimamizi wa Waisraeli wakamwendea mufalme, wakamulilia wakisema: “Kwa nini unatutendea hivi sisi watumishi wako?


Lakini mufalme wa Misri akasema: “Wavivu ninyi! Ninyi ni wavivu, ndiyo maana munasema: ‘Utuache tuende kutoa sadaka kwa Yawe’.


Kisha nikaona mateso yote yanayofanyika chini ya jua. Watu wanaogandamizwa wanalia machozi, lakini hakuna mutu yeyote anayewafariji. Wagandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji.


Siku ile ulipozaliwa, kitofu chako hakikukatwa wala haukusafishwa na maji; haukupakaliwa chumvi wala kuvalishwa nguo za kitoto.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ