11 Muende ninyi wenyewe mutafute popote mutakapoweza kuzipata, na wala kazi yenu haitapunguzwa hata kidogo.’ ”
Basi, wakubwa na wasimamizi wa watu wakatoka na kuwaambia watu: “Mufalme wa Misri anasema hivi: ‘Sitawapa nyasi.
Basi, watu wote wakatawanyika kila pahali katika inchi ya Misri wakitafuta nyasi za kutengeneza matofali.