8 Utazungusha upango na kutundika pazia kwenye mulango wake.
Kwa mwisho Musa akatengeneza upango kuzunguka hema takatifu na mazabahu na kuweka pazia kwenye mulango wa upango. Hivyo, Musa akakamilisha kazi yote.
Birika la kunawia utaliweka katikati ya hema la mukutano na mazabahu na kulijaza maji.
Kisha, utatakasa hema pamoja na vyombo vyake vyote kwa kuvipakaa yale mafuta ya kupakaa, nalo litakuwa takatifu.
Nami sasa ninakuambia: ewe Petro, wewe ni jiwe, na juu ya jiwe hili, nitajenga musingi wa kanisa langu, na hata uwezo wa lufu hautaweza kulishinda.
Vilevile Mungu ameweka kwanza mitume katika kanisa; pili manabii na tatu walimu; kisha kunakuwa wale wenye zawadi ya kufanya miujiza, ya kuponyesha wagonjwa, ya kusaidia wengine, ya kuongoza wengine, ya kusema luga za ajabu.