Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 40:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Musa akaweka vikalio vyake, akainua mbao zake, akashikamanisha miti yake na kusimamisha nguzo zake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 40:18
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tangu siku ile nilipowatoa Waisraeli katika inchi ya Misri mpaka hivi leo sijaishi kwenye nyumba. Nimetembea kila pahali nikiwa ninakaa katika hema.


Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza mwaka wa pili kisha kutoka Misri, hema takatifu likasimikwa.


Akatandaza pazia juu ya hema takatifu na kuweka kifuniko cha hema juu yake, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.


Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, utasimika hema takatifu la mukutano.


Hakuna atakayesema tena ni mugonjwa; watu watasamehewa uovu wao wote.


Nitaweka makao yangu kati yenu, wala sitawaachilia.


Nami sasa ninakuambia: ewe Petro, wewe ni jiwe, na juu ya jiwe hili, nitajenga musingi wa kanisa langu, na hata uwezo wa lufu hautaweza kulishinda.


Neno alifanywa kuwa mutu, naye akaishi kati yetu, akijaa neema na ukweli. Tuliona utukufu wake, utukufu ule Mwana wa pekee aliopewa na Baba.


Lakini wakati uliopangwa ulipotimia, Mungu akamutuma Mwana wake: akazaliwa na mwanamuke na kuishi chini ya uongozi wa Sheria,


Lakini, kama nikikawia kufika, utaweza hivi kujua mwenendo unaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, maana yake katika jamaa ya Mungu Mwenye Uzima. Yeye ndiye anayekuwa nguzo na musingi wa kweli.


Ninyi ambao kwa imani munalindwa salama kwa nguvu za Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa kwa mwisho wa nyakati.


Nikasikia sauti kubwa tokea kwenye kiti cha kifalme ikisema: “Sasa makao ya Mungu yanapatikana kati ya watu! Yeye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao, naye atakuwa Mungu wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ