Hiramu alitengeneza vilevile mabeseni kumi ya shaba, moja kwa kila gari. Kila beseni ilikuwa na upana wa metre moja na sentimetre makumi ine na tano, na iliweza kujaa maji kadiri ya litre elfu moja na mia sita.
Siku Musa alipomaliza kusimamisha hema takatifu, akalimiminia mafuta na kulitakasa pamoja na vyombo vyake vyote. Akamiminia mazabahu mafuta na kuitakasa pamoja na vyombo vyake vyote.