Lakini Yawe akamwambia Musa: “Nyoosha mukono wako, uikamate mukia!” Musa akanyoosha mukono wake, akaikamata na nyoka ikageuka tena kuwa fimbo katika mukono wake.
Mambo yatakuwa kama mutu aliyekimbia simba, halafu anakutana na dubu! Au kama mutu anayerudi kwa nyumba yake, na kutia mukono wake kwenye ukuta, na kuumwa na nyoka.