Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Basi, Musa akatwaa muke wake na watoto wake, akawapandisha juu ya punda, akaanza safari ya kurudi Misri. Katika mukono wake alishika ile fimbo aliyoamuriwa na Mungu aitwae.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 4:20
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Inua fimbo yako na kuielekeza juu ya bahari. Maji yatagawanyika na Waisraeli wataweza kuvuka katikati ya bahari pahali pakavu.


Musa akamwambia Yoshua: “Chagua wanaume uende upigane na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilele cha kilima, nikishika katika mukono wangu ile fimbo ya Mungu.”


Musa alipoambiwa kwamba baba mukwe wake pamoja na muke wake na wana wake wawili wanakuja,


Zipora akamuzalia mutoto mwanaume. Musa akasema: “Nimekimbilia katika inchi ya kigeni”, kwa hiyo akamupa yule mutoto jina Gersomi.


Utatwaa katika mukono wako fimbo hii ambayo utaitumia kufanya vile vitambulisho.”


Yawe akamwambia Musa: “Unashika nini katika mukono wako?” Musa akamwambia: “Fimbo.”


Kisha Musa akainua mukono wake, akapiga lile jiwe mara mbili kwa fimbo yake. Maji yakabubujika kwa wingi, watu wakakunywa pamoja na mifugo yao.


Kwa ajili ya maneno hayo akakimbia na kwenda kukaa katika inchi ya Midiani. Na kule akazaa wana wawili.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ