Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 39:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kwa kutumia sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu walifuma nguo za kuvaa wakati wa kutumika katika Pahali Patakatifu. Walimushonea Haruni nguo takatifu kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 39:1
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee Yawe, maagizo yako ni imara; nyumba yako ni takatifu milele.


sufu ya samawi, ya zambarau na nyekundu, kitani safi iliyosokotwa na manyoya ya mbuzi;


Zaidi ya hayo yote, utatengeneza hema takatifu kwa mapazia kumi ya kitani safi iliyosokotwa, na kwa sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu. Mapazia hayo utayapamba kwa makerubi waliochorwa.


Hao wafundi watatumia sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu, na nyuzi za zahabu na kitani safi iliyosokotwa.


nguo takatifu ya kuhani Haruni na wana wake ambao watafanya kazi ya ukuhani,


nguo zilizofumwa vizuri kabisa kwa ajili ya kazi ya Pahali Patakatifu, ni kusema nguo takatifu ya kuhani Haruni na ya wana wake, kwa ajili ya kazi yao ya ukuhani.


Kila mutu alileta kitu chochote alichokuwa nacho kama vile sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu, au kitani safi, au manyoya ya mbuzi au ngozi ya kondoo iliyotiwa rangi nyekundu.


vikalio vya upango uliolizunguka hema la mukutano na vya mulango wa upango na misumari yote ya hema takatifu na ya upango.


na nguo zote zilizofumwa vizuri kabisa kwa ajili ya kazi ya Pahali Patakatifu, ni kusema nguo takatifu za kuhani Haruni, na za wana wake kwa ajili ya kazi za ukuhani.


Makuhani ambao watakuwa wakitumika katika Pahali Patakatifu, wanapotaka kwenda kwenye kiwanja cha inje, ni lazima waache humo nguo zao walizovaa walipokuwa wanatumika mbele ya Yawe kwa sababu nguo hizo ni takatifu. Ni lazima wavae nguo zingine mbele ya kutoka inje ambako watu wanakusanyika.


Hii ni sheria juu ya nyumba ya Yawe: Eneo lote linalozunguka nyumba ya Yawe juu ya mulima linapaswa kuwa takatifu kabisa.


Aliingia mara moja tu katika Pahali Patakatifu Sana. Naye hakupeleka mule sadaka ya damu ya mbuzi na ya ngombe, lakini alipeleka damu yake mwenyewe. Na kwa njia ile akatukomboa kwa milele.


Kuhani Mukubwa wa Wayuda anaingia katika Pahali Patakatifu Sana kila mwaka, akibeba damu ya nyama. Lakini Kristo hakuingia humo kusudi ajitoe mwenyewe sadaka mara nyingi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ