6 Akatengeneza miti ya mujohoro na kuipakaa shaba.
ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi za mbuzi, mbao za mujohoro,
mafuta kwa ajili ya taa, viungo kwa ajili ya mafuta ya kupakaa na kwa ajili ya ubani wenye harufu nzuri,
Katika pembe ine akatengeneza pete ine za kubebea hiyo mazabahu.
Akaitia ile miti katika zile pete zilizokuwa kando ya mazabahu kwa kuibebea. Mazabahu hiyo iliyotengenezwa kwa mbao ilikuwa wazi ndani.
“Basi, nikatengeneza sanduku la mushita na vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nikavitwaa katika mukono, nikapanda navyo kwenye mulima.