5 Katika pembe ine akatengeneza pete ine za kubebea hiyo mazabahu.
Pete hizo zitakuwa karibu na ule ubao wa kuzunguka meza na zitakuwa za kuingizia ile miti ya kubebea ile meza.
Kisha utatengeneza wavu wa shaba wenye pete ine za shaba kwenye pembe zake ine.
Akatengeneza wavu wa shaba, akautia chini ya ukingo wa mazabahu mpaka katikati ya mazabahu.
Akatengeneza miti ya mujohoro na kuipakaa shaba.