4 Akatengeneza wavu wa shaba, akautia chini ya ukingo wa mazabahu mpaka katikati ya mazabahu.
Kisha utatengeneza wavu wa shaba wenye pete ine za shaba kwenye pembe zake ine.
Wavu ule utauweka kwenye ukingo wa mazabahu upande wa chini kusudi ufike katikati ya mazabahu.
Akatengeneza vilevile vyombo vyote kwa ajili ya mazabahu: vyungu, majembe, mabeseni, kanya na visahani vya kutwalia moto. Vyombo vyake vyote akavitengeneza kwa shaba.
Katika pembe ine akatengeneza pete ine za kubebea hiyo mazabahu.