30 Bezaleli akatumia shaba hiyo kwa kutengeneza vikalio vya mulango wa hema la mukutano, mazabahu ya shaba pamoja na wavu wake wa shaba, vyombo vyote vya mazabahu,
Vilevile utatengeneza nguzo tano za mujohoro na kuzipakaa zahabu. Nguzo hizo zitakuwa na vifungio vya zahabu, na kila moja itakuwa na tako la shaba.
Nguo zile zitashikiliwa na nguzo makumi mbili za shaba zenye vikalio vya shaba. Lakini vifungio vya nguzo zile na kamba zake vitakuwa vya feza.
Nguzo zote kuzunguka kiwanja zitashikamanishwa kwa fito za feza. Vifungio vyake vitakuwa vya feza na vikalio vyake vitakuwa vya shaba.
Katika kila pembe ya mazabahu ile utatengeneza upembe ambao utakuwa umeundwa kutokana na mazabahu yenyewe. Mazabahu ile yote utaipakaa shaba.
Kisha utatengeneza wavu wa shaba wenye pete ine za shaba kwenye pembe zake ine.
Jumla ya muchango wa shaba Waisraeli waliomutolea Yawe ilikuwa na uzito wa kilo elfu mbili mia moja makumi mbili na ine.
vikalio vya upango uliolizunguka hema la mukutano na vya mulango wa upango na misumari yote ya hema takatifu na ya upango.