22 Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, alifanya kila kitu ambacho Yawe alimwamuru Musa.
Huri alikuwa baba ya Uri, naye Uri alizaa Besaleli.
Nikichunguza amri zako zote, hapo kweli sitapata haya.
Musa akawaambia Waisraeli: Muangalie! Yawe amemuchagua Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, wa kabila la Yuda.
Hii ndiyo hesabu ya vifaa vilivyotumika katika kujenga hema la kuchunga vile vibao vya agano. Hesabu hii ilitayarishwa na Walawi kwa amri ya Musa, chini ya uongozi wa Itamari mwana wa kuhani Haruni.
Lakini Yawe akaniambia: Usiseme kwamba ungali kijana. Utakwenda kwa watu ninaokutuma kwao, na maneno yote nitakayokuamuru, utayasema.
Muwafundishe kutii maneno yote niliyowaagiza. Na mujue kwamba mimi ni pamoja nanyi siku zote hata mwisho wa dunia.”