16 Mapazia yote kuzunguka upango yalikuwa ya kitani safi iliyosokotwa.
Upande mwingine vilevile ulikuwa na pazia yenye upana wa metre sita na nusu, pamoja na nguzo tatu na vikalio vyake vitatu.
Vikalio vyote vya nguzo vilikuwa vya shaba, lakini vifungio vya nguzo hizo na kamba zake vilikuwa vya feza. Vifungio vyake vilikuwa vya feza; vilevile nguzo zake zote zilishikamanishwa kwa fito za feza.