14 Pazia la kila upande wa mulango lilikuwa na upana wa metre sita na nusu, pamoja na nguzo tatu na vikalio vyake vitatu.
Nguo ya upande mumoja wa mulango itakuwa na upana wa metre sita na nusu, pamoja na nguzo tatu na vikalio vyake vitatu.
Upande wa mashariki, kulikuwa mulango, uliokuwa na upana wa metre makumi mbili na mbili.
Upande mwingine vilevile ulikuwa na pazia yenye upana wa metre sita na nusu, pamoja na nguzo tatu na vikalio vyake vitatu.