13 Upande wa mashariki, kulikuwa mulango, uliokuwa na upana wa metre makumi mbili na mbili.
Upande wa magaribi ulikuwa na pazia yenye urefu wa metre makumi mbili na mbili, nguzo zake kumi na vikalio vyake kumi. Vifungio vya nguzo na kamba zake vilikuwa vya feza.
Pazia la kila upande wa mulango lilikuwa na upana wa metre sita na nusu, pamoja na nguzo tatu na vikalio vyake vitatu.