Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 38:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Upande wa magaribi ulikuwa na pazia yenye urefu wa metre makumi mbili na mbili, nguzo zake kumi na vikalio vyake kumi. Vifungio vya nguzo na kamba zake vilikuwa vya feza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 38:12
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nguo zile zitashikiliwa na nguzo makumi mbili za shaba zenye vikalio vya shaba. Lakini vifungio vya nguzo zile na kamba zake vitakuwa vya feza.


Upande wa kaskazini urefu wa pazia ulikuwa metre makumi ine na ine, na nguzo zake makumi mbili za shaba, lakini vifungio vya nguzo hizo na kamba zake vilikuwa vya feza.


Upande wa mashariki, kulikuwa mulango, uliokuwa na upana wa metre makumi mbili na mbili.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ