Kutoka 38:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
10 nayo yalishikiliwa na nguzo makumi mbili za shaba zenye vikalio makumi mbili vya shaba. Lakini vifungio vya nguzo hizo na kamba zake vilikuwa vya feza.
Upande wa kaskazini urefu wa pazia ulikuwa metre makumi ine na ine, na nguzo zake makumi mbili za shaba, lakini vifungio vya nguzo hizo na kamba zake vilikuwa vya feza.