8 kerubi mumoja mwisho huu na mwingine mwisho mwingine. Akatengeneza makerubi wale kwenye miisho ya kifuniko hicho, wakikuwa kitu kimoja na kifuniko.
Akatengeneza vilevile makerubi wawili kwa kufua zahabu kwenye miisho ya kifuniko hicho;
Makerubi wale walikuwa wakielekeana, mabawa yao yakikunjuliwa na kukifunika kifuniko cha sanduku, nyuso zao zilikielekea kifuniko cha sanduku.