2 Akalipakaa zahabu safi ndani na inje na kulifanyia ukingo wa zahabu pande zote.
Yote utaipakaa zahabu safi: upande wake wa juu, pande zake zote za ubavu na pembe zake. Vilevile utaizungushia ukingo wa zahabu.
Bezaleli akatengeneza sanduku kwa mbao za mujohoro. Urefu wake ulikuwa sentimetre mia moja na kumi, upana sentimetre makumi sita na sita, na urefu kwenda juu sentimetre makumi sita na sita.
Kisha akatengeneza pete ine za zahabu za kulibebea, akazitia kwenye pembe zake, kila pembe pete moja.