Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 32:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Wameacha mara moja njia niliyowaamuru, wakajifanyia sanamu ya mwana-ngombe, nao wamemwabudu na kumutolea sadaka wakisema: Ee Israeli, huyu ndiye mungu wetu aliyetutoa katika inchi ya Misri!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 32:8
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, kisha kushauriana na wengine, akatengeneza sanamu mbili za zahabu. Kisha akawaambia watu: “Enyi watu wa Israeli, hii ndiyo miungu yenu iliyowatoa katika inchi ya Misri! Hakuna sababu ya kwenda Yerusalema kutoa sadaka kule.”


hata walipojitengenezea sanamu ya mwana-ngombe na kusema: “Huyu ndiye Mungu wetu aliyetutoa kutoka katika inchi ya Misri.” Wakakuchukiza sana


Walitengeneza mwana-ngombe wa zahabu kule Horebu, wakaabudu sanamu hiyo ya chuma;


Lakini walimudanganya kwa maneno yao; walimwambia uongo.


Mutaniheshimu mimi peke yangu wala musijifanyie miungu ya feza wala ya zahabu.


Musimwonelee mugeni wala kumutesa, maana nanyi vilevile mulikuwa wageni katika inchi ya Misri.


Naye akazitwaa akaziyeyusha, akatengeneza sanamu ya mwana-ngombe. Watu wakapaaza sauti wakasema: Ee Israeli, huyu ndiye mungu wetu aliyetutoa katika inchi ya Misri.


Musifanye mapatano yoyote na wakaaji wa inchi hiyo, maana watakapoabudu miungu yao ya uongo na kuitambikia, watawaalika, nanyi mutashawishiwa kula vyakula wanavyotambikia miungu yao.


Watu wanapoteza zahabu kutoka mifuko yao, wanapima feza kwenye mizani zao, wanamulipa mufuaji wa zahabu awatengenezee sanamu ya mungu, kisha wanainama mbele yake na kuiabudu!


Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao nilipowatoa kwa mukono wangu kutoka Misri; agano hilo walilivunja, ingawa mimi nilikuwa Bwana wao.


Kwa hiyo Waisraeli watakoma kabisa kuwatambikia miungu ya uongo wenye umbo la beberu, jambo ambalo limewafanya wakose uaminifu kwangu. Hili ni sharti la kufuata siku zote katika vizazi vyao vyote.


Wakatambikia pepo ambazo hazikukuwa miungu, wakaendea miungu ambayo hawakuijua hata kidogo, miungu mipya iliyotokea kwa siku za karibu, ambayo wazee wao hawakuiheshimu hata kidogo.


“Basi, Yawe akaniambia: ‘Ondoka, ushuke chini ya mulima upesi, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wamepotoka. Wameacha upesi njia niliyowaamuru wafuate na wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa’.


Niliangalia, nikaona kwamba mumekwisha kutenda zambi mbele ya Yawe, Mungu wenu. Mulikwisha kujitengenezea sanamu ya mwana-ngombe ya kuyeyushwa. Bila kukawia mulikwisha kuacha njia ya Yawe ambayo aliwaamuru.


Nao wakawaendea watu wa makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase kule Gileadi wakawaambia:


Hata hivyo, Waisraeli hawakuwasikiliza waamuzi wao, maana walifanya kama wazinzi kwa kufuata miungu mingine na kuinama mbele yao. Wakaacha upesi njia ya babu zao. Babu zao walitii amri za Yawe lakini wao hawakuzitii.


Kisha akawaambia: “Ningependa kuwaomba kitu kimoja; ninaomba kila mumoja wenu anipe pete kati ya vitu mulivyoteka.” Wale Wamidiani kwa vile walikuwa Waisimaeli, walivaa pete za zahabu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ