3 Basi, akajisemesha: “Sasa nitazunguka nipate kuona jambo hili la ajabu, kichaka kuwaka moto na kisiungue!”
Unapaswa kusikiliza Yobu! Nyamaza, usikilize maajabu ya Mungu.
Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.
Basi, malaika wa Yawe akamutokea katika mwali wa moto katikati ya kichaka. Musa akaangalia, akashangaa kuona kichaka kinawaka moto na wala hakiungui.
Musa alipoona jambo hilo akashangaa sana, naye aliposogea karibu kusudi aangalie, akasikia sauti ya Bwana ikisema: