Kutoka 3:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Siku moja, Musa alikuwa anachunga kundi la kondoo la baba mukwe wake Yetro, kuhani wa Midiani. Musa akapeleka kundi lile upande wa magaribi wa jangwa, akafika kwenye mulima Horebu, mulima wa Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |