Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 28:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kisha utatwaa mawe mawili ya sardoniki ambayo utachora juu yake majina ya wana wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 28:9
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Zahabu ya inchi hiyo ni safi kabisa. Kule vilevile kuna marasi ya bedola na mawe mazuri ya sohamu.


Basi nimejitia kwa kadiri ya uwezo wangu wote kwa kuwekea nyumba ya Mungu wangu, akiba ya zahabu ya kutengeneza vitu vya zahabu, feza ya kutengeneza vitu vya feza, shaba ya kutengeneza vitu vya shaba, chuma cha kutengeneza vitu vya chuma, na miti ya kutengeneza vitu vya miti. Zaidi ya hayo, nimetayarisha kwa wingi mawe ya rangi na mawe ya kupamba, mawe ya kuchorwa, mawe ya bei kali ya kila namna na marumaru.


Tena unitumie miti ya mierezi, miberoshi na musandali kutoka Lebanoni, kwa maana ninajua kwamba watumishi wako ni hodari sana wa kupasua mbao kule Lebanoni. Nao watumishi wangu watashirikiana na watumishi wako,


Haiwezi kupimwa kwa zahabu ya Ofiri, wala kwa mawe ya sardoniki au ya yakuti samawi.


mawe ya sardoniki, na mawe mengine kwa ajili ya mapambo ya kizibao cha kuhani na kifuko cha kifua.


Majina sita katika jiwe la kwanza, na majina sita yaliyobakia katika jiwe la pili, majina yafuatane kadiri ya kuzaliwa kwao.


na mustari wa ine utakuwa wa zabarajadi, shohamu na yaspi. Yote yatatiwa kwenye kingo za zahabu.


Kisha, utatengeneza bamba la zahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile mutu anavyochora muhuri: Takatifu kwa ajili ya Yawe.


Mukaba wa kukishikia utatengenezwa kwa vifaa hivyohivyo: kwa nyuzi za zahabu, sufu ya samawi, zambarau na nyekundu, na kitani safi iliyosokotwa na kuwa kitu kimoja na kizibao kile.


Nimemupatia ujuzi wa kuchonga mawe ya kupamba, kuchonga mbao, na ujuzi wa kila aina ya ufundi.


Mustari wa ine ulikuwa wa zabarajadi, shohamu na yaspi. Yote yalifungwa ndani ya kingo za zahabu.


Kisha wakatayarisha mawe ya sardoniki na kuyapanga katika kingo za zahabu. Nayo yalichorwa, kama vile mutu anavyochora muhuri, majina kumi na mawili ya wana wa Israeli.


Unipige kama muhuri ndani ya moyo wako, kama muhuri katika mikono yako. Maana mapendo yana nguvu kama kifo, nao wivu ni mukali kama kaburi. Kuwaka kwake ni kama kuwaka kwa moto, unawaka kama ulimi wa moto.


Nimekuchora wewe katika vitanga vya mikono yangu; kuta zako ninaziona mbele yangu siku zote.


Ulikaa Edeni, bustani ya Mungu. Ulipambwa kwa kila namna ya mawe ya bei kali, akiki, topazi, yaspi, zabarajadi, berili, sardoniki, yakuti samawi, almasi na zumaridi. Ulikuwa na mapambo ya zahabu. Yote uliwekewa tayari siku ulipoumbwa.


Wakati ule, Yawe, Mungu wao, atawaokoa, maana wao ni kundi lake; nao watangaa katika inchi yake kama mawe ya bei kali katika taji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ