Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 27:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Utatengeneza mazabahu kwa mbao, ikuwe wazi ndani, kulingana na mufano niliokuonyesha juu ya mulima.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 27:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Daudi akamupa Solomono mwana wake mufano wa majengo yote ya hekalu, nyumba zake, hazina zake, gorofi zake, vyumba vyake vya ndani na pahali pa kiti cha rehema.


Hayo yote, mufalme Daudi aliyaweka wazi kwa maandiko aliyopewa na Yawe. Kazi yote itendeke kulingana na mufano ule.


Hakikisha kwamba umevitengeneza kwa mufano ulioonyeshwa kule juu ya mulima.


Utatengeneza hema hiyo na vifaa vyake kulingana na mufano nitakaokuonyesha.


Ibada wanayonifanyia ni ya bure, sababu mafundisho yao yanalingana na kanuni za watu tu.’ ”


“Kule katika jangwa babu zetu walikuwa na ile hema inayokuwa na vibao vya agano ndani yake. Hema ile ilikuwa imetengenezwa kama vile Mungu alivyomwagiza Musa, na mufano ule alioonyeshwa.


Kazi wale makuhani wanayofanya ni mufano na kitambulisho kinachoonyesha jinsi mambo kamili yanavyopitika mbinguni. Maneno hayo yanalingana na yale yaliyomutokea Musa. Wakati Musa alipokuwa karibu ya kujenga Hema, Mungu alimwambia: “Ufanye angalisho kusudi upate kutengeneza kila kitu kufuatana na mufano niliokuonyesha kwa mulima.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ