na vikalio makumi ine vya feza chini ya zile mbao makumi mbili, vikalio viwili chini kwa kila ubao kwa kushikilia zile ndimi zake mbili na vikalio viwili vikuwe chini ya ubao mwingine kwa kushikilia zile ndimi zake mbili.
Vilevile upande wa kaskazini, urefu wa nguo utakuwa metre makumi ine na ine, na nguzo zake makumi mbili za shaba, lakini vifungio vya nguzo na kamba zake vitakuwa vya feza.
mapazia ya upango unaokuwa kati ya hema takatifu na mazabahu, na pazia la mulango wa upango, na kamba zake. Kazi zote zilizoelekea vitu hivi zilikuwa zao.