Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 27:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Utatengeneza mazabahu kwa mbao za mujohoro. Mazabahu ile itakuwa ya muraba, urefu wake metre mbili na sentimetre makumi mbili, na upana wake metre mbili na sentimetre makumi mbili. Urefu kwenda juu utakuwa metre moja na sentimetre makumi mbili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 27:1
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku hiyo hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia: “Panda juu, umujengee Yawe mazabahu, katika kiwanja cha kupepetea ngano cha Arauna wa muji wa Yebusi.”


Mazabahu ya shaba ambayo ilitakaswa kwa ajili ya Yawe, aliiondoa mbele ya nyumba kutoka nafasi yake katikati ya mazabahu yake na nyumba ya Yawe, akaiweka kwenye nafasi iliyokuwa upande wa kaskazini wa mazabahu yake.


Kwa njia hii watu wa Israeli waliwapa Walawi miji kusudi waishi ndani yake pamoja na mashamba ya malisho ya miji hiyo.


Mufalme Solomono alitengeneza birika la maji la muviringo lenye urefu wa metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano na upana sawa na metre kenda, na urefu wake kwenda juu metre ine na nusu.


Yesua mwana wa Yosadaki, pamoja na makuhani wenzake, na Zerubabeli, mwana wa Sealtieli, pamoja na wandugu zake, wakaijenga upya mazabahu ya Mungu wa Israeli, kusudi waweze kumutolea sadaka za kuteketezwa kwa moto kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Musa, mutu wa Mungu.


Musa akajenga mazabahu na kuita mazabahu hiyo “Yawe ni Bendera Yangu”,


Musa akaandika maagizo yote ambayo Yawe alimupa. Kisha akaamuka asubui mapema, akajenga mazabahu chini ya mulima na kusimamisha nguzo kumi na mbili kulingana na hesabu ya makabila kumi na mbili ya Israeli.


mazabahu ya sadaka za kuteketezwa na vyombo vyake vyote, birika la maji pamoja na tako lake,


mazabahu ya sadaka za kuteketezwa pamoja na wavu wa shaba, miti yake pamoja na vyombo vyake vyote, birika na tako lake;


mazabahu ya shaba na wavu wake wa shaba, miti yake na vyombo vyake vyote; bakuli, birika na tako lake;


Halafu, utatakasa mazabahu ya kuteketezea sadaka na vyombo vyake vyote kwa kuipakaa mafuta, nayo itakuwa takatifu kabisa.


akaweka pale kwenye mulango wa hema takatifu mazabahu ya sadaka za kuteketezwa, akatolea juu yake sadaka ya kuteketezwa kwa moto na sadaka ya ngano, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.


Ile mazabahu ya kuteketezea sadaka utaiweka mbele ya mulango wa hema takatifu la mukutano.


Wao walioshugulika na kazi ya kutunza Sanduku la Agano, meza, kinara cha taa, mazabahu, vyombo makuhani wanavyotumia hema takatifu na pazia; kazi zote zilizoelekea vitu hivi zilikuwa zao.


Wataondoa majivu juu ya mazabahu na juu yake watatandaza kitambaa cha rangi ya zambarau.


Juu yake wataweka vyombo vyote vinavyotumika katika ibada kwenye mazabahu: vyetezo, makanya, miiko na mabakuli. Kisha, juu yake watatandaza kifuniko cha ngozi laini ya mbuzi na kuiingiza miti yake ya kulibebea.


Sisi tuko na mazabahu yetu, nao makuhani Wayuda wanaotumika katika Pahali Patakatifu hawana ruhusa ya kula sehemu ya vitu vinavyotolewa sadaka juu ya mazabahu ile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ