9 Utaunga mapazia matano pamoja na mapazia sita pamoja. Pazia la sita utalikunja mara mbili mbele ya hema.
Kisha utafanya kamba makumi tano kwenye upindo wa pazia la mwisho la kipande cha kwanza na kamba makumi tano kwenye upindo wa pazia la mwisho la kipande cha pili.
Utaunganisha mapazia matano yakuwe kipande kimoja na mapazia mengine matano yakuwe kipande cha pili.
Vilevile utatengeneza kifuniko cha hema kwa mapazia kumi na moja ya manyoya ya mbuzi.
Kila pazia litakuwa na urefu wa metre kumi na tatu na upana wa metre mbili. Mapazia yote yale kumi na moja yatakuwa na kipimo kilekile.