8 Kila pazia litakuwa na urefu wa metre kumi na tatu na upana wa metre mbili. Mapazia yote yale kumi na moja yatakuwa na kipimo kilekile.
Nusu metre ya urefu wa mapazia iliyokuwa ya zaidi utaikunja ininginie pande zote kwenye mbavu ya hema kwa kulifunika.
Kila pazia litakuwa na urefu wa metre kumi na mbili na upana wa metre mbili. Mapazia hayo yakuwe ya kipimo kimoja.
Vilevile utatengeneza kifuniko cha hema kwa mapazia kumi na moja ya manyoya ya mbuzi.
Utaunga mapazia matano pamoja na mapazia sita pamoja. Pazia la sita utalikunja mara mbili mbele ya hema.