Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 26:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Vilevile utatengeneza kifuniko cha hema kwa mapazia kumi na moja ya manyoya ya mbuzi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 26:7
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wa Tiro watakuletea zawadi; watajiri watajipendekeza kwako.


sufu ya samawi, ya zambarau na nyekundu, kitani safi iliyosokotwa na manyoya ya mbuzi;


Zaidi ya hayo yote, utatengeneza hema takatifu kwa mapazia kumi ya kitani safi iliyosokotwa, na kwa sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu. Mapazia hayo utayapamba kwa makerubi waliochorwa.


Ile nusu ya pazia iliyobaki utaitundika upande wa nyuma wa hema.


Utatengeneza vilevile kifuniko kingine cha hema kilichofanywa kwa ngozi laini ya kondoo dume na ngozi laini ya mbuzi.


Kisha utatengeneza vifungio makumi tano vya zahabu kwa kuunganishia vile vipande viwili vya mapazia, hivyo hema litakuwa kitu kimoja.


Kila pazia litakuwa na urefu wa metre kumi na tatu na upana wa metre mbili. Mapazia yote yale kumi na moja yatakuwa na kipimo kilekile.


Utaunga mapazia matano pamoja na mapazia sita pamoja. Pazia la sita utalikunja mara mbili mbele ya hema.


Kila mutu alileta kitu chochote alichokuwa nacho kama vile sufu ya rangi ya samawi, zambarau na nyekundu, au kitani safi, au manyoya ya mbuzi au ngozi ya kondoo iliyotiwa rangi nyekundu.


Na wanawake wote waliokuwa na ujuzi walisokota manyoya ya mbuzi.


sufu ya samawi, ya zambarau na nyekundu; kitani safi iliyosokotwa; manyoya ya mbuzi;


Halafu, kila pahali juu ya mulima Sayuni na juu ya mikutano ya watu atafanya kuwe wingu wakati wa muchana, na moshi na moto unaowaka vizuri wakati wa usiku. Zaidi ya hayo utukufu wa Mungu utaufunika na kuulinda muji wote.


Kazi ya wana wa Gersoni ilikuwa kutunza hema takatifu, hema pamoja na kifuniko chake, pazia la mulango wa hema la mukutano,


Munapaswa kutakasa vilevile kila nguo, kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa manyoya ya kondoo au kwa muti.


watabeba mapazia ya hema takatifu na hema la mukutano pamoja na kifuniko chake, kifuniko cha ngozi laini ya mbuzi kinachokuwa juu yake, pazia la mulango,


Lakini mapambo yenu yanapaswa kuwa ya ndani ya moyo yasiyoweza kuharibika. Sherti mapambo yale yakuwe yenye kutokana na roho ya amani na upole inayohesabiwa kuwa ya bei kali mbele ya Mungu.


Na hivi vilevile, ninyi vijana, munapaswa kuwatii hao wazee. Ninyi wote munapaswa kuwa na unyenyekevu, mupate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Mungu anawapinga wenye kiburi, lakini anawajalia wanyenyekevu neema.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ