5 Utatia kamba makumi tano katika pazia moja na kamba zingine makuni tano kwenye utepe wa pazia la pili, kamba zote zielekeane.
Utashonea kamba za rangi ya samawi kwenye upindo wa pazia la mwisho la kipande cha kwanza. Vilevile utashonea kamba kwa mwisho wa pindo la inje la kipande kingine cha pazia.
Kisha utatengeneza vifungio makumi tano vya zahabu kwa kuunganishia vile vipande viwili vya mapazia, hivyo hema litakuwa kitu kimoja.
Alitia kamba makuni tano katika pazia la kwanza la kipande cha kwanza na kamba makuni tano kwenye utepe wa pazia la pili. Kamba zote zilielekeana.