18 Basi, utatengeneza zile mbao za hema hivi: mbao makumi mbili kwa ajili ya upande wa kusini,
Nguzo za dunia zimesimikwa juu ya nini, au nani aliyeliweka jiwe lake la musingi,
Utatengeneza mbao za mujohoro za kusimama wima kwa ajili ya hema.
Kila ubao utakuwa na ndimi mbili za kuunganishia. Utazifanyia mbao zote ndimi mbili.
na vikalio makumi ine vya feza chini ya zile mbao makumi mbili, vikalio viwili chini kwa kila ubao kwa kushikilia zile ndimi zake mbili na vikalio viwili vikuwe chini ya ubao mwingine kwa kushikilia zile ndimi zake mbili.