12 Ile nusu ya pazia iliyobaki utaitundika upande wa nyuma wa hema.
Utatengeneza vifungio makumi tano vya shaba na kuviingiza katika zile kamba makuni tano kwa kuunganishia vile vipande viwili vya mapazia na hivyo kufanya pazia moja la hema.
Nusu metre ya urefu wa mapazia iliyokuwa ya zaidi utaikunja ininginie pande zote kwenye mbavu ya hema kwa kulifunika.
Vilevile utatengeneza kifuniko cha hema kwa mapazia kumi na moja ya manyoya ya mbuzi.