Kutoka 22:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Kukitokea ubishi juu ya ngombe, au punda, au kondoo, au nguo, au kitu chochote kilichopotea ambacho kila mumoja anadai kwamba ni chake, wale wanaobishana wataletwa mbele ya Mungu. Yule ambaye Mungu ataamua kwamba amekosa, atamulipa mwenzake mara mbili. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |