Kutoka 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Mutu akiwasha moto nao ukichoma miti ya miiba na kusambaa mpaka kuteketeza miganda ya ngano au ngano ya mutu mwingine ambayo bado haijavunwa au shamba lote likiteketea, aliyewasha moto ule anapaswa kulipa hasara ile yote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |