Lakini kama yule ngombe alikuwa amezoea kupiga wengine pembe na mwenye ngombe yule hakumufunga, yeye atalipa ngombe kwa ngombe na yule ngombe aliyeuawa atakuwa wake.
Anapaswa kutubu zambi yake aliyotenda; na atatoa malipo kamilifu kwa kosa lake, akiongeza asilimia makumi mbili ya malipo hayo; atatoa malipo hayo kwa yule aliyemukosea.
Lakini Zakayo akasimama mbele ya Bwana na kumwambia: “Bwana! Ninawapa masikini nusu ya mali zangu, na kama nimetwaa kitu cha mutu kwa kumudanganya, nitamurudishia mara ine sawa na kitu kile.”