Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 22:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Mwizi akikamatwa yuko anavunja nyumba, naye akipigwa na kufa, aliyemwua hana kosa la mauaji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 22:1
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye anapaswa kumurudishia yule masikini mwana-kondoo yule, tena mara ine, maana ametenda jambo baya na hakukuwa na huruma!”


Lakini kama yule ngombe alikuwa amezoea kupiga wengine pembe na mwenye ngombe yule hakumufunga, yeye atalipa ngombe kwa ngombe na yule ngombe aliyeuawa atakuwa wake.


Bila ngombe wa kulima gala za mutu ni tupu. Mavuno mengi yanapatikana kwa nguvu ya ngombe wa kulima.


lakini akipatikana anapaswa kulipa mara saba, tena atatoa mali yote anayokuwa nayo.


Juu ya nguo zako kuna damu ya wamasikini wasiokuwa na kosa, ijapokuwa haukuwakuta wakivunja nyumba yako. Na zaidi ya hayo yote,


Kama akirudisha rehani na kurudisha kitu alichoiba, akifuata masharti yanayoleta uzima bila kutenda uovu, mutu huyo hakika ataishi. Hatakufa.


Anapaswa kutubu zambi yake aliyotenda; na atatoa malipo kamilifu kwa kosa lake, akiongeza asilimia makumi mbili ya malipo hayo; atatoa malipo hayo kwa yule aliyemukosea.


Lakini Zakayo akasimama mbele ya Bwana na kumwambia: “Bwana! Ninawapa masikini nusu ya mali zangu, na kama nimetwaa kitu cha mutu kwa kumudanganya, nitamurudishia mara ine sawa na kitu kile.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ