9 Kama ataamua kumwoesha kwa mwana wake, atamutendea mujakazi yule kama vile binti yake.
Kama yule bwana akioa muke mwingine, anapaswa kuendelea kumutosheleza muke wake wa kwanza kwa chakula, nguo na haki zake za ndoa.
Ikiwa yule bwana wake alimununua akuwe mumoja wa wake zake, kisha asipendezwe naye, yule bwana ataacha baba ya yule mujakazi amukomboe. Yule bwana hana haki ya kumwuzisha kwa watu wa mataifa mengine, akiwa amemudanganya.