3 Kama alinunuliwa mbele hajaoa, ataondoka peke yake. Lakini kama alikuja na muke wake, basi, ataondoka na muke wake.
Ukimununua mutumwa Mwebrania, atakutumikia kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba atakuwa huru na kuondoka, bila malipo.
Kama bwana wake alimwoea muke, akamuzalia watoto wanawake au wanaume, basi, yule mwanamuke na watoto wake watakuwa mali ya yule bwana wake na yule mutumwa ataondoka peke yake.
Mutu akimwuzisha binti yake kuwa mujakazi, yule hatapata uhuru wake kama watumwa wanaume.
Kwa mwaka huo unapaswa kumupa uhuru wake arudi kwa jamaa yake na urizi wa wazee wake, umwache pamoja na jamaa yake.