Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 21:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Haya ndiyo maagizo utakayowapa Waisraeli:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 21:1
27 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Juu ya nyumba hii unayoijenga, kama ukifuata masharti yangu, ukiyatii maagizo yangu na amri zangu zote, nitakutimizia mambo yote niliyomwahidi baba yako Daudi.


Kila mara wandugu zenu kutoka katika muji wowote wanapowaletea mashitaki yoyote juu ya uuaji, kuvunja Sheria, amri, kanuni au maagizo, muwashaurie vema kusudi wasimukosee Yawe. Musipofanya hivyo, ninyi pamoja na wandugu zenu mutapatwa na kasirani ya Yawe. Lakini mukitenda vile, hamutakuwa na kosa.


Sisi wote, watu wa Israeli, makuhani, Walawi, walinzi wa milango, waimbaji, watumishi wa hekalu na watu wote waliojitenga na mataifa jirani kufuata sheria ya Mungu pamoja na wake zao, wana wao, na wabinti zao, wote wenye maarifa na ufahamu,


Anatoa ujumbe wake kwa wazao wa Yakobo, nayo masharti na maagizo yake kwa Waisraeli.


Basi, Musa akarudi, akawakusanya pamoja wazee wa Waisraeli na kuwaambia maneno hayo aliyoamuriwa na Yawe.


Niliwapa masharti yangu na kuwafundisha maagizo yangu ambayo mutu akiyafuata ataishi.


Tena niliwapa masharti mabaya na maagizo ambayo hayawezi kuwawezesha kuishi.


Lakini ninyi na wageni wanaokaa kati yenu munapaswa kushika masharti yangu na maagizo yangu na wala musifanye machukizo hayo.


Munapaswa kushika masharti yangu na maagizo yangu: yule anayeyashika ataishi. Mimi ni Yawe.


Munapaswa kushika na kutimiza masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ni Yawe.


Munapaswa kushika na kutimiza masharti yangu na maagizo yangu yote. Kama sivyo inchi ile ambamo ninawapeleka itawatapika.


basi, baraza lile litaamua kati ya huyo mwuaji na jamaa ya mutu aliyeuawa anayetaka kulipiza kisasi, kulingana na maagizo haya.


Hizo ndizo amri na maagizo ambayo Yawe aliwapa Waisraeli kwa njia ya Musa katika mabonde ya Moabu, ngambo ya muto Yordani karibu na muji wa Yeriko.


Muwafundishe kutii maneno yote niliyowaagiza. Na mujue kwamba mimi ni pamoja nanyi siku zote hata mwisho wa dunia.”


“Kama ndugu Mwebrania, mwanaume au mwanamuke, akiuzishwa kwako, atakutumikia kwa miaka sita, lakini katika mwaka wa saba, utamwacha huru.


Wakati huo Yawe akaniamuru niwafundishe masharti na maagizo yote ambayo munapaswa kutimiza katika inchi munayokwenda kuirizi.


Haya ndiyo maagizo, masharti na maamuzi ambayo Musa aliwaambia Waisraeli walipotoka Misri,


“Muangalie! Nimewafundisha masharti na maagizo kama vile Yawe, Mungu wangu alivyoniamuru nifanye, kusudi muyashike katika inchi munayokwenda kuirizi.


Wala hakuna taifa lingine lolote hata likuwe kubwa namna gani, lenye masharti na maagizo ya haki, kama hayo ambayo nimewafundisha siku hii ya leo.


Musa akawaita pamoja Waisraeli, akawaambia: “Enyi Waisraeli, musikilize masharti na maagizo ambayo ninayasema mbele yenu leo. Mujifunze hayo na kuyatimiza kwa uangalifu.


Lakini wewe Musa usimame hapa karibu nami. Mimi nitakuambia amri zote na masharti na maagizo ambayo utawafundisha, kusudi inchi ambayo ninawapa ikuwe mali yao.’


“Hii ndiyo amri, masharti na maagizo ambayo Yawe, Mungu wenu, aliniamuru niwafundishe, kusudi muyatimize katika inchi munayokwenda kuirizi.


“Siku zinazokuja, mwana wako atakapokuuliza: ‘Maana ya maagizo, masharti na maamuzi ambayo Yawe, Mungu wetu, aliwaamuru kutenda ni nini?’


Kwa mwisho, wandugu, sisi tumewafundisha namna gani munavyopaswa kuishi kusudi mupate kumupendeza Mungu. Na kweli, ni vile munavyoishi. Na sasa, tunawaomba na kuwasihi kwa jina la Bwana Yesu, muendelee mbele vizuri zaidi katika mwenendo ule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ