Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Alipokifungua, akamwona yule mutoto muchanga akilia. Basi, akamwonea huruma, akasema: “Huyu ni mumoja wa watoto wa Waebrania.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 2:6
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uwasamehe watu wako zambi walizotenda mbele yako na uasi wao, uwahurumie mbele ya waadui zao, kusudi nao wapate kuwahurumia,


Ee Bwana, usikilize maombi yangu mimi mutumishi wako na ya watumishi wako wanaofurahia kukutii wewe. Ninakuomba unifanikishe leo, mimi mutumishi wako, na kunijalia kuhurumiwa na mufalme.” Mimi nilikuwa na madaraka ya kumupa mufalme kinywaji.


Aliwafanya wale waliowaangamiza wawaonee huruma.


Kisha mufalme wa Misri akawaamuru watu wake wote hivi: “Kila mutoto mwanaume atakayezaliwa kwa Waebrania mumutupe ndani ya muto Nili. Lakini kila mutoto mwanamuke, mumwache aishi.”


Basi, binti ya mufalme wa Misri akashuka kwenye muto kuoga na wajakazi wake wakakuwa wanatembeatembea kandokando ya muto. Binti ya mufalme akaona kile kikapu katika majani, akamutuma mujakazi wake akitwae.


Palepale dada ya yule mutoto akajitokeza, akamwambia binti ya mufalme: “Niende nikutafutie yaya kati ya wanawake Waebrania akulelee mutoto huyu?”


Moyo wa mufalme ni kama maji yanayotiririka; Yawe anauongoza popote anapopenda.


watumwa na wajakazi wao wa Kiebrania, kusudi mutu yeyote asimufanye Muyuda mwenzake kuwa mutumwa.


Alipowekwa inje, binti ya Mufalme wa Misri akamutwaa na kumulea kama mutoto wake mwenyewe.


Kwa kumaliza, ninyi wote mukuwe na mawazo na nia moja, mupendane kama wandugu waamini, mukuwe wema na wanyenyekevu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ