Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 2:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Baba yao akawauliza wabinti zake: “Yuko wapi? Mbona mumemwacha kule? Mumwite akuje akule chakula.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 2:20
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati munapopumzika, nitatayarisha chakula kidogo mukule, kusudi mupate nguvu za kuendelea na safari yenu; maana mumenifikia mimi mutumishi wenu.” Nao wakasema: “Sawa! Fanya kama ulivyosema.”


Labani aliposikia habari za mwipwa wake Yakobo, alikwenda mbio kumupokea, akamukumbatia, akamubusu, akamukaribisha ndani ya nyumba yake. Yakobo akamwelezea Labani mambo yote yaliyotokea.


Kisha akatoa sadaka kule kwenye mulima na kuwaalika wandugu zake wakule chakula. Kisha kula, wakabaki kule usiku kucha.


Nao wakatayarisha zawadi zao za kumupa Yosefu, kwa sababu walisikia kwamba watakula pamoja naye.


Musafiri hakulala inje ya nyumba yangu; nilimufungulia mulango mupita njia.


Kisha wandugu zake, wadada zake na warafiki wote waliomufahamu mbele wakamwendea kwake, wakakula chakula pamoja naye. Wakamupa pole na kumufariji kwa ajili ya mateso yote ambayo Yawe alikuwa amemuletea. Kila mumoja wao akamupa Yobu feza na pete ya zahabu.


Nao wakamujibu: “Mumisri mumoja alituokoa toka mikono ya wale wachungaji, naye mwenyewe akachota maji na kuwakunywesha nyama wetu.”


Musa akakubali kukaa kwa yule mutu. Basi, yule mutu akamupa Musa binti yake anayeitwa Zipora akuwe muke wake.


Sherti ajulikane kwa matendo yake mema. Anapaswa kuwa mutu aliyeadibisha watoto wake vizuri, aliyekaribisha wageni, aliyewapokea watu wa Mungu akiwanawisha miguu, aliyewasaidia wenye taabu na aliyejitolea kwa kutenda mema ya kila namna.


Musisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi wamoja wamewakaribisha wamalaika pasipo kujua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ