Kutoka 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Mutoto alipokuwa mukubwa, mama yake akamupeleka kwa binti ya mufalme, naye akamutwaa na kumufanya mwana wake. Binti ya mufalme akasema: “Nimemutoa ndani ya maji,” kwa hiyo akamupa mutoto yule jina Musa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |