2 Kwa hiyo Yetro, akiwa na Sipora muke wa Musa ambaye Musa alikuwa amemurudisha kwa baba yake, alimwendea Musa,
Musa akakubali kukaa kwa yule mutu. Basi, yule mutu akamupa Musa binti yake anayeitwa Zipora akuwe muke wake.