Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Kutoka 17:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Lakini kisha muda, mikono ya Musa ikachoka. Kwa hiyo Haruni na Huri wakatwaa jiwe wakaliweka karibu na Musa naye akaikaa. Kisha wakaishika na kuiinua mikono yake. Mumoja akauinua mukono wa kuume na mwingine mukono wa kushoto. Hivyo mikono ya Musa ikabaki imara ikiwa imeinuliwa juu mpaka jua lilipotua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Kutoka 17:12
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Chukua mukuki na upanga wako kwa kuwazuia wale wanaonifuata. Uniambie mimi kwamba utaniokoa.


Ikakuwa wakati wote Musa alipoinua mukono wake juu, Waisraeli walishinda na alipouteremusha, Waamaleki walishinda.


Musa aliwaambia wale wazee: Mutungojee hapa mpaka tutakapowarudilia. Haruni na Huri wako pamoja nanyi. Yeyote anayekuwa na tatizo awaendee wao.


Muimarishe mikono zaifu, mukaze magoti yanayoregea.


nanyi wenyewe mutatusaidia kwa njia ya maombi. Kwa hivi Mungu atajibu kwa maombi yaliyotolewa na watu wengi kwa ajili yetu na kututendea wema, na watu wengi watamushukuru kwa ajili yetu.


Mumwombe Mungu kila wakati mukiongozwa na Roho. Mumwombe na kumusihi kwa kila namna. Kwa hiyo mukeshe bila kuchoka mukiwaombea watu wote wa Mungu.


kwa maana ninajua kwamba kwa ajili ya maombi yenu na kwa musaada wa Roho wa Yesu Kristo nitakombolewa.


Mudumu katika kuomba. Munapoomba mukeshe na kumutolea Mungu shukrani.


Basi muitie tena nguvu mikono yenu inayopooza, nayo magoti yenu yanayoregea.


Lakini inafaa aombe kwa imani pasipo kuwa na mashaka. Kwa maana mutu anayekuwa na mashaka anafanana na zoruba katika bahari inayosukumwa na upepo na kutupa maji huku na huko.


Yoshua hakuushusha mukono wake aliokuwa akishikilia nao mukuki wake kuelekea Ai mpaka alipowaua wakaaji wote wa muji huo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ